Kufunuwa Yesu kwa watu wa mataifa imekuwa pigo la moyo. Mke wangu na mimi na vijana wetu watatu tumekuwa wamishonari kule Ufilipino kwa miaka 9.
Tumekuwa na tunuko la kusaidia kuanzisha kanisa, na kusimamia jumba la watoto yatima, tumefundisha katika Shule za Bibilia na kusafiri katika matifa mengi ya Ashia Kusini.
Miaka mitatu zilizo pita tulikuwa tuna waza kuhusu kufunga mizigo zetu na kurejerea Amerika. Lakini Mungu bado hakuwa amemaliza na...
GGN (Global Grace News - Habari za Neema Ulimwenguni) ni msaada wa mafundisho kwa wahuduma na makanisa duniani kote. Sisi tuna tangaza injili ya neema ya Yesu Kristo; neema pekee, imani pekee, Yesu pekee. Kazi ya ukombozi iliyo malizika ya Kristo ndiye toleo la pekee kwa wokovu, baraka, na huduma. Makusudi ni mawili, ni kusaidia kanisa kutambua tena Yesu na kupeleka huu ujumbe duniani kote.
Nakala zinaweza kuipigwa chapa mradi zina chapishwa katika
ukuu wake wote na pongezi zitolewe kwa to Global Grace News http://www.globalgracenews.org.